Thursday, July 30, 2009

Mtoto ajifungua mtoto mwenzie!!!


Hii sasa ni hatari inamaana mtu na akili zako kabisa unathubutu kumfanyia unyama mtoto wa mwenzio kiasi cha kumpelekea kuzaa wakati si wake. huku tunakoelekea sasa ni hatari tupu.

0 comments: